| |  Swahili Majeshi ya Ufaransa yatabakia Afghanistan Deutsche Welle Swahili Sarkozy alietua mji mkuu wa Afghanistan Kabul leo asubuhi,alivizuru vikosi vya Ufaransa katika kambi yao nje ya mji huo mkuu na alitoa heshima za mwisho kwa wanajeshi 10 waliouawa.Vile vile aliwatembelea hospitalini wanajeshi 21 wa Kifaransa waliojeruhiwa katika mapigano na wanamgambo wa Taliban.Akasema kazi... photo: U.S. Army/SFC Larry E. Johns Ngome ya Mugabe yatikisika Deutsche Welle Swahili Ngome ya utawala wa Mugabe imeanza kutikisika. Miezi 5 tangu uchaguzi wa mizengwe,bunge limeanza shughuli zake.Licha ya wasi wasi mkubwa ,hata wabunge wa chama cha upinzani cha MDC kinachoongozwa na Morgan Tsvangirai,walikalia viti vyao Bungeni.Hatahivyo,hawakuchelea kuonesha hasira zao kwa Rais Mugabe .kwani,katika bunge la zimbabwe ,upinzani ndio... Gazetini-Obama na Georgia: Deutsche Welle Swahili Uchambuzi wa wahariri wa magazeti ya Ujerumani umeegemea zaidi hii leo mada 2: mvutano kati ya Georgia na washirika wake wa magharibi na Russia iliozitambua jana rasmi kama nchi huru -maeneo ya Georgia ya Abchazia na kusini mwa Ossetia. Mada nyengine ni kutawazwa kwa Barack Obama kama mtetezi rasmi wa wadhifa wa urais wa Marekani . Gazeti la... Kutekwa nyara ndege ya Sudan Deutsche Welle Swahili Watekaji nyara waliowashikilia abiria 100 ndani ya ndege ya Shirika la Sun la Sudan ilioko katika kiwanja cha ndege cha Kufra nchini Libya wamewaachilia mahabusu wao. Lakini watekaji nyara wawili na wafanya kazi saba wa ndege hiyo bado wamo ndani ya ndege hiyo, huku mashauriano yakiendelea. Hapo kabla abiria walipewa maji, lakini sio chakula,... Mugabe kuunda serikali mpya Deutsche Welle Swahili Kauli yake hiyo inakuja wakati ikithibitisha kwamba mazungumzo ya kushirikiana madaraka bado yanaendelea na chama cha MDC kikisema kwamba kimejifunga na mazungumzo hayo ambayo yatakayopelekea kuundwa kwa serikali ya kitaifa. Gazeti la serikali la The Herald limemkariri Mugabe akiwaambia maafisa wa serikali baada ya kulifunguwa bunge kwamba... wizi wa data Marekani. Deutsche Welle Swahili Yule anaezuru Marekani,inambidi kujiweka tayari kupekuliwa.habari zake binafsi anabaidi kutaja,akubali kutia dole la shahada na mengi mengine.Kwani, tangu shambulio la kigaidi la septemba 11,2001 Idara ya usalama wa ndani ya marekani imekuwa ikizidi kufanya ukaguzi na msako wa aina hiyo.Jipya sasa msafiri anabidi kuruhusu kupekuliwa hata zana zake... |